Alhamisi, 10 Aprili 2014

YESU AKIWA MSALABANI

MANENO SABA AMBAYO YESU ALIYATAMKA AKIWA MSALABANI NI: 1.Baba wasamehe hawa kwa kuwa hawajui walitendao. 2. Mama mtazame mwanao na mwana mtazame mamako. 3.Msinililie mimi jililieni ninyi na watoto wenu. 4.Eloi Eloi lama sabakthani. (mungu wangu mungu wangu mbona umeniacha?). 5. Naona kiu. 6. Hakika wewe utakuwa nami leo hii peponi. 7. Mikononi mwako baba naiweka roho yangu, imekwisha. Hapo akakata roho. Ukijaaliwa kupata vocha Wakumbushe wakristo woteeeee.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni